RAIS WA FIFA AIPONGEZA YANGA KWA UBINGWA WA 28


RAIS wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), Gianni Infantino ameipongeza klabu ya Yanga kwa kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara msimu huu, ambao unakuwa ni wa 28 na wa rekodi kwao kihistoria.




Post a Comment (0)
Previous Post Next Post