CLATOUS CHAMA ANAVYOJIANDAA KUWAFANYA KITU YANGA


KIUNGO Mzambia wa Simba, Clatous Chama akiwa mazoezini Uwanja wa Mo Simba Arena, Bunju Jijini Dar es Salaam kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara dhidi ya watani wa jadi, Yanga Jumapili Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam. GONGA HAPA KUTAZAMA PICHA ZAIDI.


Post a Comment (0)
Previous Post Next Post