YANGA YAPIGA TIZI MARA MBILI KUJIANDAA NA GALLANTS


KIKOSI cha Yanga katika awamu ya pili ya mazoezi jana Jijini Rustenburg nchini Afrika Kusini baada ya kuanzia Gym, yakiwa maandalizi ya mchezo wa marudiano wa Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho la Afrika dhidi ya wenyeji, Marumo Gallants kesho mjini humo.


Post a Comment (0)
Previous Post Next Post