MSHAMBULIAJI mkongwe wa Kimataifa wa Ufaransa, Karim Benzema ametambulishwa katika klabu yake mpya, Al-Ittihad ya Saudi Arabia baada ya kukamilisha uhamisho wa Pauni Milioni 258 kama mchezaji huru kufuatia kuachana na Real Madrid ya Hispnania aliyoitumikia tangu mwaka 2009 akitokea Lyon ya kwao.