DIRISHA LA USAJILI LIGI KUU KUFUNGULIWA JUMAMOSI HADI AGOSTI 31


SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limesema dirisha la usajili kwa timu za Ligi Kuu ya NBC, Championship, Daraja la Kwanza na Ligi Kuu ya Wanawake linatarajiwa kufunguliwa Jumamosi ya Julai 1 hadi Agosti 31.




Post a Comment (0)
Previous Post Next Post