DIRISHA LA USAJILI LIGI KUU KUFUNGULIWA JUMAMOSI HADI AGOSTI 31
byMtibwaCity-
0
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limesema dirisha la usajili kwa timu za Ligi Kuu ya NBC, Championship, Daraja la Kwanza na Ligi Kuu ya Wanawake linatarajiwa kufunguliwa Jumamosi ya Julai 1 hadi Agosti 31.