HomeMTBsports VIONGOZI SIMBA SC WAPEWA MAFUNZO YA UONGOZI byMtibwaCity -June 09, 2023 0 UONGOZI wa klabu leo umeendesha mafunzo ya uongozi kwa Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi yaliyolenga kujenga taasisi bora yenye weledi na kufikia dira yetu ya kuwa moja ya klabu bora barani Afrika. Tags: MTBsports Facebook Twitter