BUKU YAMPA NAMILIONI SHABIKI WA YANGA NA MAN UNITED M-BET


SHABIKI wa timu ya Yanga na Manchester United Ezekiel Mwang’onda (34) amesema ndoto yake ya miaka sabakatika kubashiri imekuwa kweli baada ya kushinda kitita cha Shilingi Milioni 234,272,830 kupitia mchezo wa Perfect12 wakampuni ya michezo ya kubashiri ya M-Bet Tanzania.
Mwang’onda ambaye ni mjasiriamali ameshinda mamilionibaada ya kubashiri kwa usahihi jumla ya mechi 12 za ligimbalimbali duniani.
 
Alisema kuwa amekuwa akibashiri kwa kipindi kirefu bilamafanikiolakini mara baada ya kujishughulisha na kampuni yaM-Betamepata bahati kwa muda mfupi sana.
 
Nimekuwa nikibashiri kwa takribani miaka saba sasahivikaribuninikaamua kubashiri na M-Bet kwa sababu kubwa tatusababu ya kwanza ni dauambapo unatumia sh1,000 tukubashiri mechi 12, sababu ya pili idadi ya washindi ambaowamekuwa wakishinda mara kwa mara na tatuuharaka wakupata fedha za ushindi na huduma bora kwa washindi.
 
Sababu hizi tatu zimenifanya kuhamia huku na sasa nimeingianyumba ya mabingwa ambao pia ni mamilionea,” alisemaMwang’onda.
 
Alisema kuwa pamoja na shughuli nyingi kusimamaM-Betiliendelea kuweka mikeka ya kubashiri ikishirikisha mechimbalimbali pamoja nanchi za Amerika ya Kusini.
 
“Mimi mara nyingi huwa sifuatilii ligi za Amerika ya Kusinihata hivyo sikuacha kubashiri na kuendelea kufuatilia kuwekadau na M-Bet na kushinda kiasi kikubwa cha fedha. Nina majukumu kibaofedha hizi nilizoshindazitasaidia kukuzabiashara yangu na kuwekeza katika miradi mingine,” alisemaMwang’onda ambaye ni mkazi wa Kyelamkoani Mbeya.
 
Mkurugenzi wa Masoko wa M-Bet Tanzania, Allen Mushialisema Mwang’onda ameungana na washindi wengine wa drooya Perfect12 na kuwaomba Watanzania wenye umri zaidi yamiaka 18 kuendelea kubashiri kupitia michezo yao mbalimbaliili kushinda fedha na kubadili maisha.
Nampongeza Mwang’onda kwa ushindi huu mkubwa nakikubwa zaidiNawaomba vijana wenye umri kuanzia miaka 18 kubashiri na M-Bet ili kujaribu bahati yao,” alisema Mushi.
Mwisho….
Caption
Mkurugenzi wa masoko wa kampuni ya M-Bet Tanzania, Allen Mushi akifafanua jambo



Post a Comment (0)
Previous Post Next Post