SPORTPESA WAIZAWADIA YANGA SC SHILINGI MILIONI 405


KLABU ya Yanga imezawadiwa Shilingi Milioni 405,000,000 kutoka kwa mdhamini wake mkuu Sport Pesa Tanzania ikiwa ni zawadi kwa kutwaa Ngao ya Jamii, ubingwa wa Ligi Kuu ya NBC, Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu kama Azam Sports Federation Cup (ASFC) na kufika Fainali Kombe la Shirikisho Afrika.



Post a Comment (0)
Previous Post Next Post