ARSENAL YAMSAJILI BEN WHITE KWA ADA YA PAUNI MILIONI 50

 KLABU ya Arsenal imemtambulisha beki wa kati Ben White kutoka Brighton aliyesaini mkataba wa miaka mitano kwa ada ya Pauni Milioni 50.
Beki huyo mwenye umri wa miaka 23 anatua The Gunners baada ya kufanya vizuri akiwa kwa mkopo Leeds msimu uliopita.
Na huo unakuwa usajili wa tatu kwa kocha Mikel Arteta baada ya beki wa pembeni, Nuno Tavares kutoka Benfica na kiungo Albert Sambi Lokonga kutoka Anderlecht.




Post a Comment (0)
Previous Post Next Post