WINGA Mghana, Bernard Morrison amesamehewa na kurejeshwa kundini Simba SC kufuatia kuomba radhi juu ya tuhuma za utovu wa nidhamu zilizokuwa zinamkabili.
Meneja Idara ya Habari na Mawasiliano Simba SC, Ahmed Ally baada ya kuomba radhi, Morrison amerejeshwa kundini na ataanza kuonekana tena uwanjani.