STERLING APIGA HAT TRICK MAN CITY YAUA 4-0


TIMU ya Manchester City imeibuka na ushindi wa 4-0 ugenini dhidi ya Norwich City katika mchezo wa Ligi Kuu ya England  Uwanja wa Carrow Road, 
Mabao ya Man City yalifungwa Raheem Sterling aliyepiga hat trick kwa mabao yake ya dakika za  31, 70 na 90 huku bao lingine la Man City likifungwa na Philip Foden dakika ya 48.  


Post a Comment (0)
Previous Post Next Post