KUZIONA SIMBA NA GENDAMARIE BUKU TATU TU


KIINGILIO cha chini katika mchezo wa mwisho wa Kundi D Kombe la Shirikisho Afrika baina ya wenyeji, Simba was SC na US Gendamarie ya Niger Aprili 3, mwaka huu Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam ni Sh 3,000.





Post a Comment (0)
Previous Post Next Post