MSHAMBULIAJI wa timu ya Taifa ya Tanzania, ‘Taifa Stars’, Simon MSUVA akiwa mazoezini timu hiyo ikijiandaa na michezo miwili ya kirafiki iliyo katika kalenda ya FIFA dhidi ya Jamhuri yaAfrika ya Kati Machi 23 na Sudan Machi 29 Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.