HomeMTBsports YANGA YAMPONGEZA KIONGOZI WAKE KWA UTEUZI byMtibwaCity -March 28, 2022 0 KLABU ya Yanga imempongeza Mwanasheria wake, Wakili Simon Patrick kwa kuteuliwa kwake kuwa mmoja wa Mawakili Wasaidizi wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC). Tags: MTBsports Facebook Twitter