FIFA YAIFUNGIA GEITA GOLD KUSAJILI WACHEZAJI WAPYA



KLABU ya Geita Gold imefungiwa kusajili wa mchezaji mpya hadi hapo itakapomalizana na aliyekuwa kocha wake, Ettiene Ndayiragijje iliyemfukuza baada ya mechi kadhaa mwanzoni mwa msimu.


Post a Comment (0)
Previous Post Next Post