FIFA YAIFUNGIA GEITA GOLD KUSAJILI WACHEZAJI WAPYA
byMtibwaCity-
0
KLABU ya Geita Gold imefungiwa kusajili wa mchezaji mpya hadi hapo itakapomalizana na aliyekuwa kocha wake, Ettiene Ndayiragijje iliyemfukuza baada ya mechi kadhaa mwanzoni mwa msimu.