HomeMTBsports MASATU NA LUNYAMILA SIMBA NA YANGA MWAKA 1993 DAR byMtibwaCity -March 22, 2023 0 Beki wa Simba SC, George Masatu akiwa ameruka kuwania mpira wa juu dhidi ya mshambuliaji wa Yanga SC, Edibily Jonas Lunyamila katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara mwaka 1993 Uwanja wa Taifa (Sasa Uhuru) Jijini Dar es Salaam. Tags: MTBsports Facebook Twitter