CHELSEA YATOA DROO NA LIVERPOOL 0-0 DARAJANI


WENYEJI, Chelsea FC jana wamepata sare ya bila kufungana na Liverpool FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Stamford Bridge Jijini London.
Matokeo hayo yanaifanya Chelsea ifikishe pointi 39 katika mchezo wa 29, ingawa wanabaki nafasi ya 11, wakati Liverpool wanatimiza pointi 43 katika mchezo wa 28 na kusogea nafasi ya nane.


Post a Comment (0)
Previous Post Next Post