WASHAMBULIAJI wa Yanga, Fiston Kalala Mayele (9) na Stephane Aziz Ki wakisikiliza mawaidha ya kocha (hayupo pichani) wakati wa mazoezi ya mwisho leo Uwanja wa Avic Town, Kigamboni kabla ya mechi dhidi ya watani, Simba SC kesho Uwanja wa BenjamÃn Mkapa Jijini Dar es Salaam.
WASHAMBULIAJI wa Yanga, Fiston Kalala Mayele (9) na Stephane Aziz Ki wakisikiliza mawaidha ya kocha (hayupo pichani) wakati wa mazoezi ya mwisho leo Uwanja wa Avic Town, Kigamboni kabla ya mechi dhidi ya watani, Simba SC kesho Uwanja wa BenjamÃn Mkapa Jijini Dar es Salaam.
Tags:
MTBsports