VIJANA WASIKIVU MAYELE NA AZIZ KI MAZOEZINI YANGA


WASHAMBULIAJI wa Yanga, Fiston Kalala Mayele (9) na Stephane Aziz Ki wakisikiliza mawaidha ya kocha (hayupo pichani) wakati wa mazoezi ya mwisho leo Uwanja wa Avic Town, Kigamboni kabla ya mechi dhidi ya watani, Simba SC kesho Uwanja wa Benjamín Mkapa Jijini Dar es Salaam.


Post a Comment (0)
Previous Post Next Post