JKT TANZANIA KUCHEZA NA TRANSIT CAMP LEO WAKABIDHIWE KOMBE
byMtibwaCity-
0
BODI ya Ligi imeandaa mchezo maalum kuikabidhi Kombe la ubingwa wa Ligi ya Championship timu ya JKT Tanzania, ambayo leo itamenyana na Transit Camp kuanzia Saa 10:00 jioni Uwanja wa Uhuru Jijini dar es Salaam.