JUVENTUS YAPOKONYWA POINTI 10 SERIE A KWA UDANGANYIFU


KLABU 
ya Juventus imepokonywa pointi 10 kufuatia kusikilizwa upya kwa kesi yao juu yatuhuma za udanganyofu katika malipo yauhamisho wa wachezaji.
AwaliJuve ilihukumiwa kupokonywa pointi 15 mwezi Januarilakini Korti Kuu zaidi yaMichezo nchini humo ikaagiza shauri hililipitiwe upya mwezi Aprili na huku mpyaimetolewa jana kabla ya kipigo cha 4-1 kutokakwa Empoli.
Adhabu hiyo inaiporomosha Juve hadi nafasi yasaba katika msimamo wa Serie A, hivyokupoteza nafasi ya kucheza michuano ya Ulayamsimu ujao.
Tayari Napoli imetwaa ubingwa wa Serie A nakabla ya hukumu hiyo ya Jumatatuwalikuwatayari wanaizidi wanaizidi pointi 17 Juvewaliokuwa nafasi ya pili.


Post a Comment (0)
Previous Post Next Post