KIPA ALLY SALIM AKABIDHIWA TUZO NA MAMILIONI YAKE SIMBA SC
byMtibwaCity-
0
KIPA Ally Salim akikabidhiwa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mashabiki wa Simba kwa mwezi Aprili mwaka huu, inayoambatana na fedha taslimu Sh. Milioni 2 kutoka kwa wadhamini, kampuni ya Emirate Aluminium Profile.