MAMILIONI YA MAMA, RAIS SAMIA YATUA YANGA


MSEMAJI Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa akimkabidhi Makamu wa Rais wa Yanga, Arafat Haji kiasi cha Sh. Milioni 20, zawadi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan kwa mabao mawili waliyofunga katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Marumo Gallants kwenye mchezo wa marudiano wa Nusu Fainali Kombe la Shirikisho Afrika Jumatano iliyopita Jijini Rustenburg nchini Afrika Kusini.


Post a Comment (0)
Previous Post Next Post