MAZOEZI YA YANGA JANA KIGAMBONI KUIKABILI USM ALGER KESHO


KIPA wa Yanga raia wa Mali, Djigui Diarra akitoa maelekezo kwa wenzake wakati wa mazoezi ya jana Uwanja wa Avic Town, Kigamboni Jijini Dar es Salaam.
Yanga inajiandaa na mchezo wa kwanza wa Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya USM Alger Jumapili Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam, kabla ya timu hizo kurudiana Juni 3 Jijini Algiers.


Post a Comment (0)
Previous Post Next Post