MALICKOU NDOYE AONGEZA MKATABA AZAM FC HADI 2025


BEKI wa kati, Msenegal Malickou Ndoye amesaini mkataba mpya wa mwaka mmoja kuendelea na kazi Azam FC hadi mwaka 2025.
Ndoye aliyetua Azam FC msimu uliopita akitokea Teungueth  ya kwao, Rufisque msimu ujao ata ataungana na kocha wake wa zamani, Youssouph Dabo.


Post a Comment (0)
Previous Post Next Post