SHUKRANI ZA YANGA SC KWA MHESHIMIWA RAIS DK SAMIA SULUHU HASSAN
byMtibwaCity-
0
UONGOZI wa Yanga umetoa shukrani kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan kwa mwaliko wa Ikulu jana kupongezwa kwa kumaliza nafasi ya pili kwenye Kombe la Shirikisho Afrika.