HomeMTBsports TANZANIA PRISONS YAACHANA NA SHAABAN KISIGA MALONE byMtibwaCity -June 27, 2023 0 KLABU ya Tanzania Prisons imeachana na wachezaji wake watatu, ambao ni Ramadhani Ntabi, Michael Masinda na Shaaban Kisiga ‘Malone’ aliyewahi kuwika Simba SC na SC Villa ya Uganda. Tags: MTBsports Facebook Twitter