YANGA YATOZWA FAINI KWA MASHABIKI KUSHAMBULIA STEWARDS SOKOINE


KLABU ya Yanga imetozwa faini ya Sh. Milioni 1 baada ya mashabiki wake kuwarushia chupa walinzi wa Uwanja wa Sokoine wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara dhidi ya Mbeya City.





Post a Comment (0)
Previous Post Next Post