AZAM FC KESHO WANA MECHI YA KIRAFIKI NA AL HILAL YA SUDAN
byMtibwaCity-
0
KLABU ya Azam FC kesho itacheza mechi ya kwanza ya kirafiki katika kambi yake Tunisia kwa kumenyana na Al Hilal ya Sudan Uwanja wa Olimpiki Jijini Rades kuanzia Saa 1:00 usiku kwa Saa za Tanzania.