EDWARD CHARLES MANYAMA BAADA YA MATIBABU TUNISIA


BEKI wa kushoto wa Azam FC, Edward Charles Manyama akiwa amefungwa kinga mkononi baada ya kuumia juzi kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya wenyeji, Club Tunisien nchini iTunisia ambako klabu yake imeweka kambi ya kujiandaa na msimu.


Post a Comment (0)
Previous Post Next Post