SIMBA SC YACHUKUA KOCHA WA MAKIPA ALIYEONDOLEWA AZAM FC


KLABU ya Simba SC imemtambulisha Mspaniola Daniel Cadena kuwa kocha wake mpya wa makipa kuelekea msimu ujao.
Daniel Cadena anahamia Simba baada ya kufanya kazi Azam FC msimu uliopita, kabla ya mabadiliko yaliyofanywa kukuondoa kazini pamoja na wenzake wote aliokuwa nao benchini.


Post a Comment (0)
Previous Post Next Post