SIMBA YA TISA AFRIKA, YANGA YA 19 ORODHA MPYA YA CAF


SHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF) limetoa orodha ya viwango vya ubora wa klabu barani kwa msimu wa 2022-2023, huku Simba SC ikiwa namba tisa na wagani wao, Yanga nafasi ya 19.




Post a Comment (0)
Previous Post Next Post