YANGA YAICHAPA KAIZER CHIEFS 1-0 DAR BAO PEKEE LA MUSONDA


BAO pekee la mshambuliaji wa Kimataifa wa Zambia, Kennedy Musonda dakika ya 45 na ushei limeipa Yanga SC ushindi wa 1-0 dhidi ya Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini katika mchezo wa kirafiki Uwanja wa Benjamín Mkapa Jijini Dar es Salaam.


Post a Comment (0)
Previous Post Next Post