FEISAL NA YANICK BANGALA WAKIPAMBANA MAZOEZINI AZAM FC
byMtibwaCity-
0
VIUNGO wapya wa Azam FC, Feisal Salum (kulia) na Mkongo Yanick Bangala (kushoto) waliosajiliwa kutoka Yanga wakidhibitiana kwenye mazoezi ya leo Uwanja wa Azam Complex, Chamazi Jijini Dar es Salaam.