WACHEZAJI SIMBA SC WAFANYIWA VIPIMO VYA AFYA UTURUKI


WACHEZAJI tisa wapya wa Simba ambao hawakufanyiwa vipimo kabla ya timu kwenda kambini Uturuki jana wamefanyiwa vipimo hivyo kabla ya timu kuanza safari ya kurejea nyumbani, Dar es Salaam.


Post a Comment (0)
Previous Post Next Post