HIZI NDIZO JEZI ZA YANGA MAKUNDI LIGI YA MABINGWA


KLABU ya Yanga imemtambulisha jezi zake maalum kwa ajili ya hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kuelekea mchezo wake wa Kundi D dhidi ya wenyeji, CR Belouizdad Ijumaa kuanzia Saa 4:00 usiku Uwanja wa Julai 5 1962 Jijini Algiers.
VÍDEO: UTAMBULISHO WA JEZI ZA YANGA LIGI YA MABINGWA AFRIKA 


Post a Comment (0)
Previous Post Next Post