TANZANIA YAICHAPA UGANDA 1-0 MICHUANO YA CECAFA U18 KENYA
byMtibwaCity-
0
TANZANIA jana imeanza vyema michuano ya vijana chini ya umri wa miaka 18 Afrika Mashariki na Kati (CECAFA U18) baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya Uganda bao pekee la Sharif Wilson Uwanja wa Kakamega nchini Kenya.