TABORA UNITED YAFUNGIWA TENA KUSAJILI KWA TATIZO LILE LILE
byMtibwaCity-
0
SHIRIKISHO la Soka la Kimataifa (FIFA) limeifungia klabu ya Tabora United kufanya usajili hadi itakapomlipa haki zake mshambuliaji Mkongo, Fabrice Ngoy ambaye kwa sasa anachezea Namungo FC ya Lindi.