HomeMTBsports UWANJA WA UHURU WAFUNGIWA, SIMBA YAHAMIA CHAMAZI byMtibwaCity -December 22, 2023 0 SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limeifungia Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam kutokana na mapungufu kadhaa na kwa maana hiyo Simba SC mechi zake zitahamia Uwanja wa Azam Complex, Chamazi Jijini Dar es Salaam kuanzia dhidi ya KMC kesho. Tags: MTBsports Facebook Twitter