KAPTENI MBWANA SAMATTA ARIPOTI KAMBINI TAIFA STARS MISRI


NAHODHA wa timu ya taifa ya Tanzania, Mbwana Ally Samatta anayechezea PAOK ya Ugiriki akiwa mazoezini leo Uwanja mdogo wa Cairo International baada ya kuwasili kambini leo kujiunga na wenzake kwa maandalizi ya Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON).
Fainali za AFCON zinatarajiwa kuanza Januari 13 hadi Februari 11 mwaka huu nchini Ivory Coast na Taifa Stars imepangwa Kundi F pamoja na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Morocco na Zambia.


Post a Comment (0)
Previous Post Next Post