NAHODHA wa timu ya taifa ya Tanzania, Mbwana Samatta akiwa mazoezini Jijini San Pedro nchini Ivory Coast kujiandaa na mchezo wa kwanza wa Kundi F Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) dhidi ya Morocco Januari 17.
Wapinzani wengine wa Taifa Stars Kundi F ni Zambia watakaocheza nao Januari 21 na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) watakaomenyana nao Januari 24.
PICHA: TAIFA MAZOEZINI IVORY COAST KUJIANDAA NA AFCON