AUBAMEYANG APIGA HAT TRICK, ARSENAL YAUA 6-0


TIMU ya Arsenal usiku wa Jumatano imekonga nyoyo za mashabiki wake baada ya ushindi wa 6-0 dhidi ya wenyeji, West Bromwich Albion kwenye mchezo wa Raundi ya Pili ya Kombe la Ligi England Uwanja wa The Hawthorns.
Mabao ya Arsenal yamefungwa na Pierre-Emerick Aubameyang matatu dakika ya 17, 45 na 62, Nicolasa Pépé dakika ya 45, Bukayo Saka dakika ya 50 na Alexandre Lacazette dakika ya 69.


Post a Comment (0)
Previous Post Next Post