HomeMTBsports AZAM FC YATUA ZAMBIA KUWEKA KAMBI byMtibwaCity -August 23, 2021 0 KIKOSI cha Azam FC kimewasili salama jijini Ndola, Zambia kwa ajili ya kuweka kambi ya maandalizi ya msimu mpya Mara baada ya kuwasili, kikosi hicho kitapumzika kabla ya kuendelea na programu ya mazoezi kesho Jumanne, asubuhi na jioni. Tags: MTBsports Facebook Twitter