RAIS SAMIAH AJUMUIKA NA MABINGWA WA CHALLENGE IKULU

 


RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na kikosi cha timu ya vijana ya Tanzania chini ya umri wa miaka 23 kilichotwaa Kombe la CECAFA Challenge hivi karibuni nchini Ethiopia. 
Wengine pichani ni Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia, Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo. Innocent Bashungwa na benchi la Ufundi, Ikulu.


Nahodha wa U23 ya Tanzania Relliant Lusajo akimkabidhi Kombe la CECAFA Challenge mheshimiwa Rais, Samiah Suluhu Hassan Ikulu Jijini Dar es Salaam jana.



Post a Comment (0)
Previous Post Next Post