HomeMTBsports DEPAY AINUSURU BARCELONA KUCHAPWA LA LIGA byMtibwaCity -August 22, 2021 0 BAO la mshambuliaji Mholanzi, Memphis Depay dakika ya 75 liliisaidia Barcelona kupata sare ya 1-1 na wenyeji, Athletic Club Bilbao waliotangulia kwa bao la Ínigo Martinez dakika ya 50 katika mchezo wa La Liga Uwanja wa San Mames Barria, Bilbao. Tags: MTBsports Facebook Twitter