MUINGEREZA FRAZER CLARKE AINGIA FAINALI NDONDI OLIMPIKI

BONDIA Muingereza, Frazer Clarke amejihakikishia Medali ya uzito wa juu ngumi za Ridhaa kwenye michezo ya Olimpiki baada ya kumshinda Mfaransa, Mourad Aliev.
Aliev aliondolewa kwenye pambano baada ya Mfaransa huyo kuonekana kutumia kichwa kumpiga mpinzani wake kinyume cha taratibu.




Post a Comment (0)
Previous Post Next Post