RAIS SAMIAH KUDHAMINI KLABU BINGWA YA WANAWAKE CECAFA

 

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Samiah Suluhu Hassan amekubali kudhamini michuano ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati ya wanawake.
Jana, Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) alitoa ombi hilo wakati kikosi cha timu ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 23 kuzuru Ikulu kwa mwaliko wa Rais Samiah kufuatia kutwaa ubingwa wa CECAFA Challenge U23 hivi karibuni nchini Ethiopia.


Post a Comment (0)
Previous Post Next Post