HomeMTBsports LUSAJO AMFUNIKA MAYELE KWA MABAO LIGI KUU byMtibwaCity -February 25, 2022 0 MSHAMBULIAJI wa Namungo FC, Relliant Lusajo amemaliza mzunguko wa kwanza anaongoza kwa mabao Ligi Kuu ya Tanzania Bara baada ya kufumania nyavu mara 10, mara tatu zaidi ya Mkongo wa Yanga, Fiston Kalala Mayele. Tags: MTBsports Facebook Twitter