WENYEJI, Liverpool wamefanikiwa kutinga Robo Fainali ya Kombe la FA England baada ya ushindi wa 2-1 dhidi ya Norwich City usiku wa Jumatano Uwanja wa Anfield.
Mabao ya Liverpool yote yamefungwa na Takumi Minamino dakika ya 27 na 39, wakati la Norwich City limefungwa na Lukus Rupp dakika ya 76.