SIMBA SC WAINGIA KAMBINI KUJIANDAA KUIVAA USGN


KIKOSI cha Simba kimeingia kambini leo kujiandaa mechi yake ya mwisho ya Kundi D Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya US Gendamarie ya Niger Aprili 3, mwaka huu Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam.
Simba inahitaji ushindi lazima katika mchezo huo ili kujikatia tiketi ya kwenda Robo Fainali.





Post a Comment (0)
Previous Post Next Post