MAYELE AKIMPA MAARIFA YA KIUSHAMBULIAJI CHIPUKIZI WA YANGA


KINARA wa mabao Ligi Kuu ya Tanzania Bara, Mkongo wa Yanga, Fiston Kalala Mayele akimpa maarifa ya kiushambuliaji na ufungaji mshambuliaji chipukizi wa timu hiyo, Yussuf Athumani katika mazoezi ya timu hiyo kambini kwao, Avic Town, Kigamboni nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam.


Post a Comment (0)
Previous Post Next Post